Genesis 22:16-18

16 aakasema, “Ninaapa kwa nafsi yangu, asema Bwana, kwamba kwa sababu umefanya jambo hili na hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee, 17 bhakika nitakubariki, na nitauzidisha uzao wako kama nyota za angani na kama mchanga ulioko pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao, 18 cna kupitia uzao wako mataifa yote duniani yatabarikiwa, kwa sababu umenitii.”

Copyright information for SwhKC